Shinyanga yaja na mkakati wa kuwanufaisha wakulima wa Choroko.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi, Zainab Telack ameagiza Maafisa Kilimo Mkoani Shinyanga kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi gharani kwa wakulima wa zao la choroko ili waache tabia ya kuuza mazao yakiwa bado kuepuka kuwanufaisha wanunuzi badala ya wakulima ambao wanatumia nguvu nyingi kuandaa mazao hayo. Mkuu wa Mkoa amesema hayo jana wakati wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed